Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Shirika la Madini la Taifa

ZIARA YA MWENYEKITI WA BODI YA STAMICO KWENYE MAONESHO YA UWEKEZAJI - LINDI

Imewekwa: 10 March, 2025
ZIARA YA MWENYEKITI WA BODI YA STAMICO KWENYE MAONESHO YA UWEKEZAJI - LINDI

Mwenyekiti wa Bodi ya STAMICO Meja Jenerali(Mst) Michael Isamuhyo akiwa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Dkt. Venance Mwasse wakitembelea baadhi ya mabanda mbalimbali katika Maonesho ya Madini na Fursa za uwekezaji yanayoendelea katika Viwanja vya kilimahewa Ruangwa Mkoani Lindi

Mrejesho, Malalamiko au Wazo